Tuesday 3 May 2011

Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa kati ya Barcelona na Real Madrid

Barcelona comfortably advanced to the Champions League final following a 1-1 draw at home to fierce rivals Real Madrid at the Nou Camp.

Following a completely one-sided first half in which Madrid keeper Iker Casillas kept his side in the game, Pedro gave Pep Guardiola's team the lead nine minutes into the second period.
Marcelo soon hit back for a vastly-improved Madrid 10 minutes later, but the Catalans never looked in too much trouble and will face Manchester United or Schalke in the final later this month, which sees them return to the scene of their first European Cup triumph, in 1992.
Wembley here we come! Pedro (left) celebrates his goal with David Villa
Wembley here we come! Pedro (left) celebrates his goal with David Villa
Madrid, two goals down from last Wednesday's bad-tempered first leg match at the Santiago Bernabeu, were missing suspended pair Pepe and Sergio Ramos.
Coach Jose Mourinho, also banned, named an attacking line-up, with Cristiano Ronaldo, Kaka, Angel di Maria and Gonzalo Higuain all in the side.
But after a solid start, which saw Ronaldo make some promising attacking runs, Barca began to dominate.
Decisive strike: Pedro fires home to put Barcelona in front at the Nou Camp
Decisive strike: Pedro fires home to put Barcelona in front at the Nou Camp
Ricardo Carvalho, who missed the first match through suspension, cut out a dangerous ball from Lionel Messi after 20 minutes and moments later, Casillas saved comfortably from Sergio Busquets, who was allowed a free header by the Madrid defence.
Casillas then made a double save to deny Messi and must have been relieved when the Argentina forward fired wide just a minute later.
Back in it: Marcelo (second right) scores Real Madrid's equaliser against Barcelona
Back in it: Marcelo (second right) scores Real Madrid's equaliser against Barcelona
The Spain goalkeeper then did well to keep out Messi's low drive, but produced an even better save David Villa's curling effort, which was heading for the far corner.
Madrid were hardly getting a sniff and things could have been worse a minute before time, when Carvalho - already booked - hacked down Messi.
Stopped in his tracks: Marcelo (right) tries to prevent Lionel Messi skipping away
Stopped in his tracks: Marcelo (right) tries to prevent Lionel Messi skipping away
The referee waved play on, much to the annoyance of the Nou Camp crowd, in what was the last real action of the first period.
Madrid improved after the break, but Barca took the lead just as the visitors had looked to be making some headway.
Intruder: A Barcelona fan throws a traditional catalan hat 'barretina' to Cristiano Ronaldo
Intruder: A Barcelona fan throws a traditional catalan hat 'barretina' to Cristiano Ronaldo
The goal was all about Andres Iniesta, who played a fabulous defence-splitting ball through to Pedro for a clinical low finish from the Tenerife-born forward into Casillas' bottom right corner.
Karanka then sent on Emmanuel Adebayor and Mesut Ozil for Kaka and Gonzalo Higuain as Madrid sought a more direct approach.
Booked: Ricardo Carvalho (centre) was lucky not to see red after a number of late challenges
Booked: Ricardo Carvalho (centre) was lucky not to see red after a number of late challenges
Despite the goal, effectively little had changed: Madrid needed three to go through.
It looked an impossible task, but some hope was restored as Marcelo levelled the scores on the night, firing home from close range after Di Maria had hit the post and then squared the rebound for his better-positioned team-mate.
Up for grabs: Gerard Pique (right) jumps for the ball with Real Madrid's Iker Casillas
Up for grabs: Gerard Pique (right) jumps for the ball with Real Madrid's Iker Casillas
Adebayor threw his weight around up front after that and was arguably lucky to only pick up a late booking, but the Togo striker was left with an unenviable task as he fed off scraps against a Barca side happy to keep possession and run down the clock.
There was a huge cheer just before the end as Eric Abidal came on to make his first appearance since returning from an operation to rumour a tumour from his liver in March.
Pile up! Barcelona's players celebrate after Pedro scored the goal that ensured their place in the final
Pile up! Barcelona's players celebrate after Pedro scored the goal that ensured their place in the final
But there was an even bigger roar a couple of minutes later as the referee blew the final whistle to confirm Barca as Champions League finalists for the third time in six years.
The Catalans will now look for a repeat of their 1992 triumph and a fourth European Cup success in total as they return to Wembley on May 28.
Flying high: Barcelona players lift the returning Eric Abidal up in the air after defeating Real Madrid
Flying high: Barcelona players lift the returning Eric Abidal up in the air after defeating Real Madrid

Mke na doezi huyo walipotoka nje

Na Shakoor Jongo
FUMANIZI lililotokea alfajiri ya kuamkia Aprili 25, mwaka huu limezua ajali baada ya jamaa aliyedaiwa kutembea na mke wa rafiki yake kutoroka na mwanamke huyo na gari walilopanda kuligonga daladala linalofanya safari zake kati ya Ubungo na Msasani jijini Dar es Salaam.

Tukio hilo lilianzia ndani ya New Maisha Club, Msasani jijini Dar wakati wagoni hao walipokuwa wakila raha na kabla ya mwenye mali kutokea na kuwafanya watimue mbio.

kwa mujibu wa paparazi wetu aliyeshudia kisanga hicho, jamaa alipomuona rafiki yake  mwenye mke akiingia ndani ya klabu hiyo, aliamua kutimua mbio kupitia  mlango mwingine kutoka nje ya ukumbi huo akiwa sambamba na mwanmke huyo.

Mke na doezi huyo walipotoka nje, waliingia ndani ya gari na kutimua mbio kwa fujo hali iliyowashtua watu wengi.

Kwa kuwa mume alishawaona naye akawakimbiza hadi nje ya ukumbi huo na alipofika nje akadandia Bajaj na kumwamuru dereva kuifukuza gari ile, paparazi wetu naye akadandia gari nyingine kwa ajili ya kufuatilia mchezo mzima.

Safari ya wagoni hao iliishia kwenye mataa ya Morocco, Kinondoni baada ya mwanaume huyo kukumbwa na mcheche kwa kujua gari la mwandishi wetu ndilo alilokuwa akija nalo rafiki yake ambaye ndiye mwenye mke.
Hivyo, mwanaume huyo alishindwa kuhimili kona ya kuelekea Mkwajuni na kwenda kulivamia daladala na kusababisha ajali mbaya.

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko, shuhuda ambaye anawajua watu hao kiundani zaidi alisema kuwa, anawafahamu wahusika waliopata ajali kama mtu na shemeji yake na walikuwa wakitoka pamoja na mume wa mwanamke huyo siku za nyuma.

“Mume wa mwanamke namjua na huyu jamaa ni shemeji yake, siku zote wamekuwa wakitoka watatu pamoja na  mume mtu nashangaa leo kuwaona  wakiwa wawili,” kilisema chanzo hicho.

Naye, mlinzi wa Maisha Club ambaye (jina lake linawekwa kapuni) aliyekuwepo katika msafara wa kulikimbiza gari la wagoni hao, alisema kuwa tukio hilo limewachanganya kwa kuwa hawakuwa wakijua kama jamaa alikuwa akimchukua mke wa rafiki yake.

Baada ya kusikiliza upande mmoja wa habari, paparazi wetu aliamua kumhoji jamaa aliyekuwa akitoroka na mke wa rafiki yake, hata hivyo aligoma kuzungumza kisha kupotea  katika mazingira ya kutatanisha katika eneo la tukio.

Mpaka watu wanatawanyika katika tukio hilo la ajali, mume aliyekuwa akiwakimbiza wagoni wake kwa kutumia kibajaji hakujulikana alipoishia.

STAA kunako tasnia ya filamu Bongo

Na Brighton Masalu
STAA kunako tasnia ya filamu Bongo,Flora Festo Mvungi (pichani) ameibuka na kujibu kauli iliyotolewa na mama yake mzazi, Zuhura Mvungi kuwa hamtambui mchumba wake ambaye ni mwanamuziki wa Bongo fleva, Hamis Ramadhani Baba ‘H-Baba’, mistari hapa chini ina mkanda mzima.

Akizungumza na gazeti hili ndani ya New Maisha Club, Masaki jijini Dar es Salaam, msanii huyo alitambaa na vina kuwa, alishtushwa sana na kauli ya mama yake kutomtambua mchumba wake, jambo ambalo halina ukweli hata kidogo na kudai kuwa alishawahi kuonana naye mara kwa mara na kama haitoshi huwa anawasiliana naye kwa njia ya simu.

“Aisee nilipatwa na mfadhaiko mkubwa sana juu ya kauli ya mama na sikuamini kama mama yangu mzazi anaweza kutamka maneno kama yale, kwani anafahamiana vizuri sana na H-Baba na walishakutana na bado huwa wanawasiliana kwa simu,” alisema Mvungi na kuongeza:

“Nikimaliza kazi niliyonayo kwa sasa, nitakuchukua hadi nyumbani uongee na mama nami nikiwepo, tuone atajibu nini yaani mama simuelewi kabisa lakini kwa kuwa yeye ni mzazi labda aliamua kusema hivyo akiwa na lengo lake lakini ninachojua ni kwamba mama anafahamiana vizuri sana na mchumba wangu huyo,” alimaliza msanii huyo.
Baada ya kuongea na Flora, paparazi wetu hakuchoka, aliamua ‘kumpekenyua’ H-Baba ili kujua yapi maziwa na lipi  tui juu ya ‘nyuzi’ hizo ambapo hakuwa na mengi ya kusema:
“Aaah, mimi bwana sitaki tena kuongelea sana habari hizo maana yamesemwa mengi sana juu yangu, aliyoyasema Flora yanatosha na pengine mama alisema hayo kwa maana yake na siwezi kumchukia hata kidogo,” alifunga taya msanii huyo.

Awali, paparazi wetu aliwashuhudia wawili hao wakiwa wamekaa kwa staili ya kumbikumbi mbele ya kaunta ukumbini hapo huku wakipata vinywaji.

Hivi karibuni mama mzazi wa Flora alitoa kauli iliyowaacha watu wengi midomo wazi, baada ya kutamka kuwa hamtambui hata kidogo mchumba wa mwanaye ambaye ni H-Baba.

Man Utd na Schalke 04 Rooney kupumzishwa


Meneja wa Manchester United, Sir Alex Ferguson atampumzisha Wayne Rooney katika mchezo wa nusu fainali ya Ubingwa wa Ulaya mzunguko wa pili dhidi ya Schalke 04 siku ya Jumatano.
Wayne Rooney
Wayne Rooney
Wakiwa wanaongoza kwa mabao 2-0 waliyopata katika mchezo wa mzunguko wa kwanza na huku wakikabiliwa na mchezo muhimu wa kuamua hatma ya ubingwa wa England dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili, Ferguson anajipanga kupumzisha baadhi ya wachezaji wa kikosi chake cha kwanza.
Dimitar Berbatov huenda akaanza pamoja na Michael Owen katika safu ya washambuliaji wawili.
Fabio da Silva hata hivyo hatacheza, kutokana na kuumia mguu.
Mbrazili huyo aliumia siku ya Jumapili, Manchester United ilipolazwa bao 1-0 na Arsenal, matokeo yanayoufanya mpambano baina ya Man United na Chelsea katika uwanja wa Old Trafford kuwa muhimu zaidi kwa kuweka wazi nani hasa atakuwa katika nafasi nzuri ya kutwaa taji la ubingwa msimu huu.
Manchester United inaongoza kwa pointi tatu nyuma ya Chelsea huku zikiwa zimesalia mechi tatu kabla msimu kumalizika, lakini wakipoteza mchezo huo siku ya Jumapili, itawafanya Chelsea kushikilia usukani wa ligi huku wakikabiliwa na michezo miwili rahisi ya kumalizia dhidi ya Blackburn nje na Blackpool nyumbani.
Wakilifahamu hilo, ndio maana Ferguson atapumzisha wachezaji kadha nyota dhidi ya Schalke ya Ujerumani katika mchezo wa Jumatano.

Manchester United waliizidi kwa kila hali Schalke katika mchezo wa kwanza juma lililopita, na kufanikiwa kushinda kwa mabao 2-0.

Uefa yatupa lawama za Barca na Madrid

Shirikisho la Soka barani Ulaya-Uefa, limetupilia mbali malaalmiko yaliyowasilishwa na vilabu vya Real Madrid na Barcelona, kufuatia mchezo wao wa kwanza wa nusu fainali ya Ubingwa wa Ulaya.
Vurugu za wachezaji na maafisa wa Madridi na Barca
Vurugu za wachezaji na maafisa wa Madridi na Barca
Uefa imesema hakukuwa na "mikakati yoyote ya uchokozi" kwa Barca baada ya Real kudai Barcelona wanahatia ya "utovu wa nidhamu kinyume na michezo".
Uamuzi wa kutolewa nje kwa kadi nyekundu kwa mlinzi wa Real Madrid, Pepe unabakia pelepale, huku madai kumhusu meneja wa Real, Jose Mourinho yamekataliwa.
Lakini Uefa itachunguza madai yote yaliyowasilishwa dhidi ya vilabu hivyo viwili.
Taarifa ya Uefa imesema: "FC Barcelona imekwishawasilisha malalamiko yake dhidi ya Mourinho, yatakayosikilizwa na kamati ya udhibiti na nidhamu ya Uefa siku ya Ijumaa, tarehe 6 mwezi wa Mei.
"Hakuna hatua mpya za nidhamu zitakazochukuliwa dhidi ya Jose Mourinho kutokana na malalamiko yaliyowasilishwa na Barcelona."
Barcelona wametuhumiwa kutokana na kadi nyekundu aliyooneshwa mlinda mlango wao wa akiba Jose Pinto wakati wa mapumziko.
Joto la mechi hiyo lilipandishwa zaidi na Mourinho baada ya filimbi ya mapumziko kupulizwa, alipodai Barcelona wanapendelewa na waamuzi.
Barcelona baada ya mkutano wa bodi uliofanyika siku ya Alhamisi iliyopita, wanaamini Mourinho kocha wa zamani wa vilabu vya Chelsea, Inter Milan na FC Porto "alivuka mipaka" kutokana na kauli yake.
Na Real ikajibu kwa kudai wachezaji wa Barca "kwa makusudi walikuwa wamemzonga mwamuzi kwa lengo la kumpotosha atoe uamuzi usiokubalika."
Uamuzi wa kukataa malalamiko yao ulichukuliwa na makamu mwenyekiti wa jopo la kamati ya nidhamu ya Uefa na uamuzi wa kukata rufaa upo wazi ndani ya siku tatu iwapo vilabu hivyo vitafikiria kufanya hivyo.

Ajali nyingine ya boti DRC

Mitumbwi nchini DRC
Zaidi ya watu 100 wanahofiwa kufa baada ya chombo walimokuwa ndani kuzama katika Ziwa Kivu, kusini mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Mwandishi wa BBC, amesema ajali hiyo ilitokea katika mji wa Tshikapa, Kusini mwa DRC. Ajali hiyo ilitokea jumapili usiku.
Mashua hiyo ya kusafirisha mizingo inasemekana ilizama ikiwa na zaidi ya watu 300.
Maafisa wanasema idadi kamali ya watu waliofariki haijulikana. Hata hivyo watu 30 wanasemekama wamenusurika baada ya kuogelea hadi kwa ufukwe wa ziwa hilo.
Ajali ya sasa imetokea wiki moja baada ya watu 50 kufa katika ziwa hilo upande wa Mashariki, pale mtumbwi wao ulipozama. Shughuli za uokozi zinaendelea.

Mtetezi wa mapenzi ya jinsia moja auawa

Wapenzi wa jinsia moja
Mauaji ya kikatili ya mwanaharakati wa kutetea mapenzi ja jinsia moja kutoka Afrika kusini yamelaaniwa na kuelezwa kama uhalifu unaohusishwa na chuki na shirika la Human Rights Watch.
Shirika hilo lenye makao yake makuu nchini Marekani limewasihi polisi kufanya jitihada zaidi ya kuwapata waliohusika na mauaji ya hivi karibuni na ubakaji wa Noxolo Nogwaza
Aliuliwa kwa kupopolewa na mawe na kuchomwa kisu Aprili 24 baada ya kutokea mabishano kwenye baa katika kitongoji cha KwaThema, mashariki mwa Johannesburg.
Wanaharakati wamesema wapenzi wa jinsia moja wa kike nchini humo hulengwa kwa kile walichosema "ubakaji wa kurekebishwa".
Tofauti na nchi nyingi za Afrika, mapenzi ya jinsia moja ni halali Afrika kusini na katiba inaharamisha ubaguzi kwa misingi ya jinsia yako.
Lakini wanaharakati wamesema wapenzi wa jinsia moja hushambuliwa kwenye vitongoji mbalimbali.
Polisi wamesema wanafanya uchunguzi juu ya mauaji hayo na wanasubiri matokeo ya uchunguzi wa maiti.

Obama: Dunia salama pasipo bin Laden

The Americans are adamant they acted alone. A senior U.S. official said: 'We shared our intelligence with no other country - not even Pakistan.'
Rais Barack Obama wa Marekani amekielezea kifo cha kiongozi wa al-Qaeda, Osama Bin Laden, kuwa ni "siku njema kwa taifa la Marekani," na kusema sasa dunia imekuwa mahala salama na pazuri zaidi.

Nyumba ambako Osama bin Laden alikutwa na kuuawa huko Pakistan.
Bin Laden aliuawa katika shambulio lililofanywa na vikosi maalum vya Marekani kwenye nyumba moja ndani ya mji wa Abbottabad nchini Pakistan.
Anaaminika kuwa ndiye mtu aliyeagizwa kufanyika kwa mashambulio yaliyotokea New York na Washington, Septemba 11 mwaka 2001, pamoja na mashambulio mengi kadhaa ya mabomu yaliyosababisha vifo.
Alikuwa ndiye mtu anayesakwa zaidi duniani.
Lakini maelezo yake katika orodha hiyo yamebadilishwa na sasa kuna sehemu inasomeka: "Amefariki".

Uhakika

Vipimo vya DNA vilivyofanywa baada ya harakati hiyo vinaonyesha kwa uhakika wa asilimia "99.9%" kuwa mtu aliyepigwa risasi ni Osama Bin Laden, maafisa wa Marekani walieleza.
Pakistan's interior minister Rehman Malik told visiting U.S. politicians in 2009 that Bin Laden was much more likely to be hiding out in Yemen or Saudi Arabia
Maafisa wa wizara ya ulinzi wanaeleza kuwa alizikwa baharini baada ya kuswaliwa kwa mujibu wa taratibu za kiislamu kwenye meli ya kubebe ndege katika bahari ya Arabuni.
Marekani imeweka ofisi zake katika hali ya tahadhari kote duniani, ikiwaonya raia wake kuhusu uwezekano wa mashambulio ya al-Qaeda kulipiza kisasi kwa kifo cha Bin Laden.
Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la CIA, Leon Panetta, amesema al-Qaeda kuna uwezekano mkubwa kujaribu kulipiza kwa yaliyotokea.

Uswizi yapiga tanji mali za Gaddafi

Bw Hosni Mubarak
Uswizi imesema imepiga tanji takriban mali zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni moja za Kanali Muammar Gaddafi wa Libya na viongozi walioondolewa madarakani kutoka Misri na Tunisia.
Waziri wa mambo ya nje wa Uswizi Micheline Calmy-Rey alisema takriban dola za kimarekani milioni 960 zimepatikana.
Waziri huyo alisema, kati ya hizo, kiwango kikubwa cha faranga za kifaransa milioni 410 zimehusishwa na aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak na washirika wake.
Faranga nyingine zenye thamani ya milioni 360 zinaaminiwa kuwa za uongozi wa Kanali Gaddafi.
Na faranga milioni 60 zinamhusu aliyekuwa kiongozi wa Tunisa Zine al-Abidine Ben Ali na washirika wake.